SUA ina mchango mkubwa kukuza Uchumi wa Buluu

Imeelezwa kuwa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo, (SUA) kupitia kwa wataalam wake wabobezi  wa Elimu ya Viumbe maji,  ina mchango mkubwa katika kufanikisha ndoto ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar chini Rais Dk. Hussein Mwinyi kuwainuia wanachi wa visiwa hivyo kiuchumi kupitia matumizi ya rasimali zilizopo baharini maarufu kama Uchumi wa Buluu.

 

SUA ina mchango mkubwa kukuza Uchumi wa Buluu

Mkutubi wa Maktaba ya Taifa ya Kilimo Bi. Editha Njau akijibu swali lililoulizwa na mmoja wa waalimu wa shule ya Sekondari Ben Bela

Mkutubi wa Maktaba ya Taifa ya Kilimo Bi. Editha Njau akijibu swali lililoulizwa na mmoja wa waalimu wa shule ya Sekondari Ben Bela

SOMA ZAIDI:

Share this page